Alhamisi, 31 Desemba 2015

MUNGU IBARIKI TANZANIA 2016 UWE MWAKA WA BARAKA NA MAFANIKIO


Mungu mbariki Rais wetu Dr Magufuli, Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia, Waziri mkuu Mheshimiwa Ndg Majaliwa, Baraza la mawaziri, Bunge la Tanzania, Wakuu wa mikoa, Wilaya nk

Mungu Bariki wananchi wote wa Tanzania bila kujali dini zao