UCHAGUZI MKUU KANISA LA EAGT TANZANIA TANZANIA ULIOFANYIKIA DODOMA TAREHE 23/09/2015 KWA AJILI YA KUCHAGUA VIONGOZI WA KITAIFA YAANI ASKOFU MKUU, MAKAMU ASKOFU MKUU, KATIBU MKUU NA MTUNZA FEDHA MKUU
1. Askofu
Mkuu mteule wa sasa kanisa la EAGT Tanzania na na pia ni mchungaji wa
kanisa la
EAGT Mlimwa West Dodoma Dr. Brown Mwakipesile
2. Makamu Askofu Mkuu mteule wa sasa wa kanisa EAGT Tanzania ni John Mahene
(Anatokea Mwanza)
3. Katibu Mkuu mteule wa sasa wa kanisa EAGT Tanzania ni Dr. Leonard Mwinzarubi
Na Mchg Kanisa la EAGT Sinoni Arusha
4. Mtunza fedha mkuu wa EAGT Taifa kwa sasa ni Mchg Rinoradi Zawadi Mgonja toka kanda ya Mashariki
EAGT Mlimwa West Dodoma Dr. Brown Mwakipesile
2. Makamu Askofu Mkuu mteule wa sasa wa kanisa EAGT Tanzania ni John Mahene
(Anatokea Mwanza)
3. Katibu Mkuu mteule wa sasa wa kanisa EAGT Tanzania ni Dr. Leonard Mwinzarubi
Na Mchg Kanisa la EAGT Sinoni Arusha
4. Mtunza fedha mkuu wa EAGT Taifa kwa sasa ni Mchg Rinoradi Zawadi Mgonja toka kanda ya Mashariki
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni